Moja kati ya mabalozi wa kinywaji cha Maltiza,Balidina Constatin (kulia) akiwaonyesha wateja kinywaji hicho kipya ambacho kinatengenezwa na kampuni ya bia Tanzania (TBL) ambacho hakina kilevi kwenye uzinduzi uliofanyika jana katika kiwanja cha Furahifisha jijini Mwanza.
Kundi Wasafi Classic Hatupendi dharau likikonga nyoyo za watu wakati wa uzinduzi wa kinywaji kipya cha Maltiza,katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza.
Kundi la sanaa la Africa Bamus wakiwa wamebeba mfano wa kopo za kinywaji kipya cha Maltiza wakionyesha kwa wadau waliohudhulia uzinduzi huo uliofanyika jana kwenye viwanja vya Furahisha jijini Mwanza.
Sehemu ya wananchi waliohudhulia uzinduzi huo wakionja kwa furaha kubwa ladha ya kinywaji cha Maltiza mara baada ya uzinduzi huo uliofanyika jana jijini Mwanza kwenye viwanja vya Furahisha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...