Banda la MEGATRADE INESTIMENT linavyoonekana katika maonesho ya kimataifa ya biashara ya Afrika Mashariki(EATF)yanayoendelea katika viwanja vya Nyamagana jijini Mwanza.
Wafanyakazi wa MEGATRADE INVESTIMENT wakifurahia baada yakukabidhiwa cheti cha ushindi nafasi ya kwanza katika Category ya “Food and Beverage processors”atika maonesho ya kimataifa ya biashara ya Afrika
Mashariki(EATF)yanayoendelea katika viwanja vya Nyamagana jijini Mwanza.
Banda la MEGATRADE linavyoonekana mara baada ya kuingia ndani.
Mgeni rasmi katika maonesho ya kimataifa ya ya biashara ya Afrika Mashariki ,Waziri wa viwanda na biashara Dr Abdallah Kigoda (MB)
Kikombe pamoja na cheti iliyojinyakulia kampuni ya MEGATRADE ya jijini Arusha inayozalisha vinywaji vikali vya K-VANT GIN na KIROBA.
Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...