Banda la MEGATRADE INESTIMENT linavyoonekana katika maonesho ya kimataifa ya biashara ya Afrika Mashariki(EATF)yanayoendelea katika viwanja vya Nyamagana jijini Mwanza.
 Wafanyakazi wa MEGATRADE INVESTIMENT wakifurahia baada yakukabidhiwa cheti cha ushindi nafasi ya  kwanza katika Category ya “Food and Beverage processors”atika maonesho  ya kimataifa ya biashara ya Afrika

Mashariki(EATF)yanayoendelea katika viwanja vya Nyamagana jijini Mwanza.

 Banda la MEGATRADE linavyoonekana mara baada ya kuingia ndani.
 Mgeni rasmi katika maonesho ya kimataifa ya ya biashara ya Afrika Mashariki ,Waziri wa viwanda na biashara Dr Abdallah Kigoda (MB) 
 Kikombe pamoja na cheti  iliyojinyakulia  kampuni ya MEGATRADE ya jijini Arusha inayozalisha vinywaji vikali vya K-VANT GIN na KIROBA.
Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...