Mkurugenzi mpya wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene (kulia) akiongea na Msaidizi wa Heshima wa Balozi wa Mexico Tanzania ( Honorary Consulalte of Mexico Tanzania). alipokwenda kujitambulisha ofisini kwa Mkurugenzi huyo (13,Sept,2012) ambapo walizungumza mambo mbalimbali ya jinsi ya kusaidiana katika nyanja ya habari.(Picha na Mwnakombo Jumaa- MAELEZO).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...