Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Afya Jimbo la Jiangsu ncini China Bibi Wong Young Hong,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,akifuatana na ujumbe wa Watu kumi na moja (11) leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Afya Jimbo la Jiangsu ncini China Bibi Wong Young Hong,(kushoto) alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,akiwa na ujumbe wa Watu kumi na moja (11) leo.(Picha na Ramadhan Othman Ikulu.)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...