Mwenyekiti wa Wafanyabiashara wa Soko la Machinga Complex, Bw. Abdubakar Rakesh akizungumza katika uzinduzi wa utakaowawezesha wafanyabiashara wadogo wadogo wa soko la machinga complex jijini Dar es Salaam. Mpango huo utawawezesha wamachinga hao kupata mikopo nafuu kwa ajili ua kuendesha na kukuza biashara zao ambapo benki ya Equity kwa kupitia huduma ya Airtel Money na wao kuwa wakifanya marejesho ya mikopo hiyo kwa kutumia Airtel Money.
 Umati wa watu waliohudhuria katika uzinduzi wa utakaowawezesha wafanyabiashara wadogo wadogo wa soko la machinga complex jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa kampuni ya Ear Promotion ambao wanasimamia na kuratibu mradi huo, Bw. Brian Kikoti aliwasifu benki ya Equity pamoja na Airtel kwa kuungana nao katika kusaidia kusimamia ufanisi wa soko la wafanyabiashara wadogo wadogo.
 Umati wa watu waliohudhuria katika uzinduzi wa utakaowawezesha wafanyabiashara wadogo wadogo wa soko la machinga complex jijini Dar es Salaam.
 Bi. Sara Yohana aliyemwakilisha mkurugenzi wa jiji la Dar es Salaam akisoma risala katika uzinduzi wa utakaowawezesha wafanyabiashara wadogo wadogo wa soko la machinga complex jijini Dar es Salaam.
Meneja Mahusiano wa Airtel Jackson Mmbando akiongea. Amesema kuwa wataendelea na mikakati ya kusaidia jamii Nyanja mbali mbali za kimaendelea kwa kupitia huduma ya Airtel Money katika mradi wa upatikanaji wa huduma za kifedha kupitia simu ya mkononi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...