Bandari ya Dar es Salaam imeibuka na ushindi wa jumla katika michezo ya inter-ports games ambayo imefanyika jijini Mwanza hivi karibuni na kufungwa na Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Mh. Baraka Konisaga.
Michezo hiyo imefanyika jijini huko kwa muda wa siku tano ambapo zaidi ya wanamichezo 400 wafanyakazi wa Bandari walishiriki michezo mbalimbali kama vile mpira wa miguu, pete, kikapu, riadha, bao na kuvuta kamba.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...