Mdau wa Blog ya jamii kutoka Helsinki Finland,Frateline Kashaga (pili kushoto) akiwa katika ibada ya ndoa na Mai Waifu wake Maria Nimrod Mkemwa iliyofanyika hivi karibu katika kanisa Katoliki la Mt. Joseph,jijini Dar es Salaam.Wengine ni Wapambe wao katika Ndoa yao hiyo.
Maharusi wakitoka Kanisani baada ya kukamilika kwa Ibada ya Ndoa.
Maharusi katika Picha ya Pamoja na Ndugu,jamaa na Marafiki nje ya Kanisa.
Bi Harusi, Maria Nimrod Mkemwa akiwa katika tabazamu zito baada ya Ndoa.
Pozz la beach.
Maharusi wakiwa na Wazazi wao.
Maharusi na Wapambe wao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Harusi imependeza sana. Tunawatakia maisha mema ya ndoa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...