Habari za kazi,
Mimi naitwa Ngwesa Paulo mhitimu wa shahada ya utalii chuo kikuu cha Dodoma UDOM. Nilikuwa naomba msada wako unitangazie blog yangu kwenye blog yako inakwenda kwa jina la NGWESA http://ngwesa.blogspot.com/
ni Blog inayohusiana na habari za kitalii zaidi pamoja na mali asili. Nashukuru kwa ushirikiano wako.
Bloggers wengine wanakera sana. ukitembelea blog yake unakuta anakaa wiki 1, wiki 2 hata mwezi au miezi kadhaa hajaweka hata picha moja wala maelezo yoyote. lakini bado anaitangaza bloga.
ReplyDeleteSijui wanataka sifa kwa watu au inakuwaje?