Maelefu ya wananchi wa Mwanza wakiwa wamefurika katika uwanja wa Nyamagani jijini Mwanza leo kuuaga mwili wa aliyekuwa kamanda wa Polisi mkoa huo aliyeuwawa kwa kuopigwa risasi majuzi Hayati Liberatus Barlow. Mwili huo umesafirishwa kuelekea Dar es salaam ambako ataagwa na ndugu, jamaa na marafiki nyumbani kwa marehemu Ukonga kabla ya kusafirishwa kuelekea Moshi kwa mazishi.
 Jeneza lenye mwili wa Hayati Kamanda Liberatus Barlow
Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Mwanza mjini wa zamani Mhe Lawrence Masha akitoa heshima zake za mwisho kwa Kamanda Barlow.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. poleni sana wafiwa inasikitisha sana jinsi matukio ya kinyama yanavyoendelea nchini tanzania nchi amabayo ina sifa ya amani na upendo

    wingi wa watu umejionyesha namna gani marehemu alikuwa karibu sana na watu na inaonyesha jinsi huzuni zilizojaa katika nyuso za watu na kusikitishwa na tukio la kinyama kama hilo

    R.I.P kamanda.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...