Mtoto Rashid Athumani Hamisi (12) pichani, amepotea katika mazingira ya kutatanisha baada ya kutoweka nyumbani kwao Kiwalani Minazi Mirefu anakoishi na Bibi yake Bi. Zamoyoni.

Rashidi ni mwanafunzi wa darasa la nne katika shule ya msingi kisutu jijini Dar es Salaam. Tunaomba msaada wa jamii, mtu yeyote atakayemuona atoe taarifa katika kituo cha polisi Kiwalani Minazi Mirefu au katika msikiti wa eneo hilo.

Pia kwa mawasiliano ya simu 0713972201, 0783165655, 0762944781 na 0784531188. Rashid ni mtoto wa Mhariri wa Picha wa kampuni ya magazeti ya TSN, Athumani Hamisi, aliyepata ajali ya gari 2008.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...