Mshindi wa kwanza wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2012 Sista Martha Mwasu kutoka mkoani Dodoma (kushoto) akiwa na zawadi baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula, 2012. Katikati ni mshindi wa pili kutoka mkoani Kagera Bi. Emiliana Eligaesha, kulia ni Naibu Waziri Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Mh. January Makamba.


 Washindi watatu bora kwenye mashindano ya Mama Shujaa wa Chakula 2012 kwenye picha ya pamoja na Naibu Waziri Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Mh. January Makamba wakati wa hafla ya kutoa zawadi kwa washindi ya mashindano ya Mama Shujaa wa Chakula 2012.

 Mwakilishi Mkazi waShirika la Kimataifa Oxfam Bi. Monica Gorman akimpongeza mshindi wa kwanza wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula Sista Martha Mwasu kutoka mkoani Dodoma wakati wa hafla ya kutoa zawadi kwa washindi ya mashindano ya Mama Shujaa wa Chakula 2012.
 Mkuu wa Masoko na Mawasiliano Bw. Imani Kajula akiwapongeza washiriki wa Mama Shujaa wa Chakula 2012 wa hafla ya kutoa zawadi kwa washindi ya mashindano ya Mama Shujaa wa Chakula 2012.
Washiriki wa Mashindano ya Mama wa Shujaa wa Chakula 2012 wakiwa zawadi walizokabidhiwa na Benki ya NMB baada ya shindano hilo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Yeah, This good, Congrants Mama Aligaesha, kweli shamba lako linavutia sana. Mtu akipita.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...