Mdau Saida Msumi (Wa pili kushoto mstari wa nyuma ) akiwa na baadhi ya wanafunzi wenzake wa kitanzania, waliokula nondozzzz  katika fani mbalimbali chuoni Kampala International University, wakati wa mahafali yao yaliyofanyika jijini Kampala, Ijumaa iliyopita.

Baadhi ya wanafunzi wa kitanzania waliohitimu katika chuo cha Kampala International University, wakiwa katika mahafali yao yaliyofanyika jijini Kampala, Ijumaa iliyopita.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. jamani huyo dada wa kwanza mstari wa pili kushoto mbona kama namjua sio Edna mhina kama ni wewe hongera mpenzi longtime jamani toka peramiho.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...