Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dk. Mary Nagu (katikati) akiongoza matembezi ya hisani ya kuchangia ujenzi wa mabweni ya wanafuzi wa kike. Kulia ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Rosemary Lulabuka (kulia) na kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Dk. Naomi Katunzi. (Picha na Habari Mseto Blog)
 Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Makongo wakishiriki katika matembezi ya hisani ya kuchangia ujenzi wa mambweni ya wasichana  yaliyoanzania Mlimani City na kuishia katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam jana. Jumla ya sh. milioni 50  ikiwa ni pamoja na ahadi zilipatikana.
Mwanafunzi wa shule ya Sekondari Baobab, Khadija Nuru akisoma risala kwa niaba ya wanafunzi wenzake ambao walichangia kiasi cha sh. milioni 1.
 Naibu Waziri wa Maliasilia na Utalii, Lazaro Nyarandu akiwa na mke wake ambaye pia ni balozi wa kampeni ya kuchangia ujenzi wa mabweni ya wanafunzi wasichani, Faraja Nyarandu ambapo alichangia sh. milioni 10 kwa ajili ya kusadia ujenzi ya wasichana .

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. is 10 mil has clean channel, legally if a depute minister can contribute 10 mil to one fundraising event, I don't believe is a good message to normal citizen. If father of the nation was alive you could see people are doing these kinds of show off business

    ReplyDelete
  2. Tokea Michango Ya Changia Mabweni ianziishwe hakuna hata Mfuko mmoja wa Cement ulionunuliwa.
    Ni Mwaka Sasa Umeisha. Ukitembelea Website yao Hutaona Hata Maendeleo huwezi kuonyeshwa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...