Meneja Mkuu wa Kampuni ya Travelport, Eliasaph Mathew akizungumza wakati wa semina ya siku moja kuhusu teknolojia mpya ya kuuza tiketi kwa kutumia simu ya mkononi iliyofanyika jijini Dar es Salaam, pamoja na kukuza ushirikiano wa kibiashara na Shirika la Precision Air na kuhudhuriwa na mawakala wa mashirika ya ndege jijini Dar es Salaam.
 Mwakilishi wa kampuni ya Wakala wa Ndege ya  Tan Travel, Paul Walden akichangia mada katika semina hiyo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Aucland Tours,Albert Makoye akichangia Mada katika Semina hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...