Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Bw. Raymond Mbilinyi(katikati) akifutilia michango kutoka kwa washiriki wa kikundi kazi cha ardhi kilichowaleta pamoja maofisa kutoka wizara ya Ardhi,Nyumba and maendeleo ya makazi na ofisi ya Waziri Mkuu(TAMISEMI),kushoto ni Mkurugenzi wa mifumo ya habari wa kituo, Bw.John Kyaruzi na kushoto ni Mkurugenzi wa Huduma wa kituo,Bi.Nakuala Senzie.Warsha hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliandaliwa na kituo.
|
Home
Unlabelled
kikao cha kikundi kazi cha ardhi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...