Jaji Mkuu Mh. Othman Chande akiwa na Jaji mkuu wa Kenya Mh. Willy Mtungi na Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Sinde Warioba  wakati wa mapumziko  ya kongamano la mwaka la majaji inayofanyikia kwenye hoteli  ya Snow Crest Hotel jijini Arusha
 Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Sinde Warioba akisalimiana  na  mmiliki wa Snow Crest Hotel  ya jijini Arusha Ndugu Wilfred LucasTarimo wakati wa mapumziko 
Sehemu ya majaji wakiwa kwenye kongamano hilo
 Waheshimiwa wakibadilishana mawazo wakati wa mapumziko kwenye kongamano hilo la mwaka la majaji. Picha na Woinde Shizza wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...