Mwezeshaji wa Masuala ya PPP kutoka katika
Taasisi ya IP3 ya nchini Marekani inayojishughulisha na masuala ya PPP, Bw. Ned
White akiwaeleza wataalamu kutoka katika
Sekta ya Umma na Sekta Binafsi wakati wa
mafunzo ya Sera ya Ubia baina ya Sekta ya Umma na Binafsi mjini
Morogoro. Mafunzo hayo yanayotarajiwa kufungwa rasmi leo na Katibu Mkuu Ofisi ya
Waziri Mkuu Bw. Peniel Lyimo.
Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.
John Mboya (Wa kwanza kushoto ) akiwa na wataalamu kutoka katika Sekta ya Umma na Sekta Binafsi katika
mafunzo ya Sera ya Ubia baina ya Sekta ya Umma na Binafsi yaliyoratibiwa na
Ofisi ya Waziri Mkuu tangu tarehe 29 Novemba mjini Morogoro, mafunzo hayo yatafungwa rasmi leo tarehe
9 Novemba na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Peniel Lyimo.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...