Mke wa balozi wa Ireland nchini Tanzania (wa kwanza kushoto), Sarah Colins akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, uliofanyika katika ubalozi wa Uswisi, kuhusu maonesho ya hisani yatakayonyika siku ya jumamosi jijini Dar es Salaam yenye lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya watu wanaoishi katika mazingira magumu .na kufunguliwa na mke wa Makamu wa Rais Bi. Asha Bilal siku ya jumamosi. Pamoja nae ni Mwenyekiti wa kundi hilo Juliana Parroni (Switzeland) na Keiko Okada (Japan).
Mwenyekiti wa kundi la wake wa mabalozi nchini (DSG) Juliana Parroni,(kulia) akizungumza na waandishi wa habari, juu ya maonyesho ya hisani yatakayo fanyika siku ya jumamosi na kufunguliwa na Mke wa makamu wa Rais, Bi Asha Bilal kwa ajili ya kuchangisha fedha kwa watu wanaoishi katika mazingira magumu. Kutoka kushoto ni mke wa Balozi wa Namibia Aletha Aisaack, Sara Colins (Ireland) Keiko Okada (JAPAN) na Kaisa Alapartanen (Finland).
Mke wa Balozi wa Japani nchini Tanzania (wa kwanza kutoka kulia) Keiko Okada, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari juu ya Maonyesho ya hisani yatakayofanyika mwisho wa wiki ili kuchangisha fedha kwa ajili ya makundi ya watu wasiojiweza, pamoja nae kutoka kushoto ni Mke wa Balozi waIreland Sarah Colins na katikati ni Mwenyekiti wa umoja huo Bi. Juliana Paroni. Maonyesho hayo yatafunguliwa na Bi. Asha Bilal Mke wa makamu wa Rais.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...