Home
Unlabelled
Mhe. Selasini wa CHADEMA, Dkt Magufuli wa CCM na Mhe. Mrema wa TLP wamfagilia Rais Kikwete kwa uchapaji kazi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
maguguli ndio nani mbona sijawahi kumsikia?
ReplyDeleteKweli Rais wetu anastahili sifa. Ni mchapakazi haijawahi kutokea. Hata anampiku Rais Obama na ndiyo maana taifa limegubikwa na MONSANTO, SAGCOT na.... Tuendelee kumsifu hadi kiama chetu.
ReplyDeletenimefurahi kweli sina cha kusema sana zaidi naipenda nchi yangu sana japo nipo nje ya nchi lakini napenda kuona kila kitu na maendeleo yote natamani kurudi lakini bado sijafanikiwa nikifanikiwa sina haja ya kukaa huku hata hakuna furaha ni kubaguana na baridi tu.
ReplyDeleteWaziri kama DK Maguguli ni mfano mzuri kwa vijana. Nina kubaliana na Anonymous kwamba Rais Kikwete anastahili sifa.Kiboko.Mchapakazi na changmoto zote he is still standing tall.
ReplyDelete