Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Eng. Omar A. Chambo kwa Mamlaka aliyonayo chini ya Kifungu Na. 6 (1) (b) cha Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002, amemteua Bibi Tumpe Samwel Mwaijande kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira na Usalama wa Usafiri wa Majini. 

Uteuzi huu unaanza tarehe 19/11/2012.
Imetolewa na;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
19/11/2012


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...