Katibu Mkuu
Wizara ya Uchukuzi, Eng. Omar A. Chambo kwa Mamlaka aliyonayo chini ya Kifungu
Na. 6 (1) (b) cha Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002, amemteua Bibi
Tumpe Samwel Mwaijande kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira na Usalama wa
Usafiri wa Majini.
Uteuzi huu
unaanza tarehe 19/11/2012.
Imetolewa na;
KITENGO CHA
MAWASILIANO SERIKALINI
19/11/2012
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...