Kwa mujibu wa taarifa za awali kupitia CNN Rais wa Marekani Barak Obama amemgaragaza mpinzani wake Mitt Romney kwa kura  zaidi ya 270 zilizotakiwa ili mtu ashinde katika uchaguzi mkuu wa Marekani. Tayari sherehe za ushindi zimeshaanza kwenye makao makuu ya Rais mteule huko Illimois, Chicago ambako wakati wowote kuanzia sasa Obama mwenyewe anatarajiwa kutoa neno la shukrani. Globu ya Jamii ambayo ni sapota mkubwa wa Rais huyo wa kwanza mweusi kuongoza taifa hilo kubwa inatoa pongezi kwa ushindi huo wa kishindo. Yaani, angeshingwa tungelia...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. hakika tungelia wamarekani wamefanya kweli

    ReplyDelete
  2. Obama 50% Romney 49% ndiyo asilimia ya kura kwalizopataktk skrini ya TV

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...