Dkt.. Richard Rwechungura, amehitimu masomo tar.11.12.2012, shahada ya uzamivu katika uhandisi wa mafuta na gesi ya asili, yaani PhD in Petroleum Engineering katika chuo cha Norwegian University of Science and Technology (NTNU) kilichopo katika mji wa Trondheim nchini Norway.

Dr. Richard Rwechungura baada ya kumaliza presentation yake 


Dr. na Mama Rwechungura wakipongezwa na wapendwa waTz waishio Trondheim baada ya Ibada ya kumshukuru Mungu .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Hongera sana kwa Mtazamo wako, Unaona mbali.
    Oil and Gas Degrees are way to go for Tanzania.

    Welcome Home soon.

    ReplyDelete
  2. Hongera sana. Nategemea utakuwa mstari wa mbele kuleta mabadiliko kwenye sekta ya gesi na mafuta bila kumumunya maneno hili Tz tufaidike na hizi rasilimali zetu.

    ReplyDelete
  3. Hongera Dr.Richard Rwechungura,

    Halafu Jrani zetu Kenya wanasema ,ohhh tunataka tuje tuwasaidie ndugu zetu wa-Tanzania ktk kazi za Mafuta na Gesi wakati akina Dr.Richard Rwechungura na wengine wana wa Tanzania wanahitimu huko Norway!

    Kenya banduguuu, acheni undugu wa kinafiki na sisi, kwa nini msisomee Taaluam ya Magadi Chumvi na Chai ili mfanye kazi huko kwenu ?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...