Sarita akiwa anawakaribisha rafiki zake waliohudhuria katika hafla fupi ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake. hafla hiyo ilifanyika nyumbani Kwao Kijitonyama jijini Dar es sdalaam.
Sarita Swaleh akikata keki tayari kuwalisha baadhi ya marafiki waliohudhuria hafla hiyo iliyofanyika nyumbani kwao Kijitonyama
Akimimina Shampeni tayari kwa kuwapa rafiki zake kipenzi waliohudhuria hafla fupi ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake
Sarita Akimlisha Keki mmoja wa Wadogo zake
Sarita Akimlisha Keki Mmoja wa Rafiki zake waliohudhuria hafla hiyo ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake hapo jana nyumbani kwao
Muda wa Maakuli sasa kila Kitu kilikuwa Kujisevia
Keki kwa Shampeni ikiwa ndani ya eneo la tukio hapo jana usiku wakati wa sherehe ya kumbukumbu ya kuzaliwa Mdau Sarita Swalehe
Hapo Vinywaji kwanza vikitembea
Baadhi ya marafiki waliohudhuria hafla hiyo jana usiku iliyofanyika nyumbani kwao Kijitonyama
Sarita Swaleh akiwa katika Picha ya Pamoja na baadhi ya rafiki zake waliohudhuria hafla hiyo iliyofanyika Jana nyumbani kwao
Sarita hongera sana upendezaa sana,ukipata nafasi uwe unapitia kwenye gym pia.
ReplyDeletekama ni muislam mkumbuke muumba wako na fikiria maisha baada ya kufa.tunakokwenda kugumu bibie
ReplyDeleteALINGANIWE
ReplyDeleteTafadhali Michuzi nataka contact za Mzee Swalehe nipo UK na tayari nimepata "indefinate leave to remain".
ReplyDeleteUmependeza ila jitahidi na ibada umri.ndo unaenda hivo.
ReplyDeleteHappy birthday
afadhali Michuzi nataka contact za Mzee Swalehe nipo UK na tayari nimepata "indefinate leave to remain".
ReplyDeleteUPO JUU MAANA NDO LENGO LAKE
Binti Sarita mvua ishirini? au Ishirini na moja, na huyo mwali menye nyeusi na kola ya manjano, huo usafiri mweeeeee!
ReplyDeleteKWANI UKIPATA INDEFINATE LEAVE TO REMAIN NDIYO UNATAMBA?USISAHAU WEWE NI MTUMWA MBEBA BOX HUNA RAHA YOYOTE,UKITAKA RAHA RUDI BONGO.
ReplyDeleteHongera sanaa,mdau wa kwanza hapo juu umesema ukweli,yaani huyu dada ni bomba kishenzi,lakini mapaja utadhani magogo?kafanye mazoezi mwanangu dooo.mdau CHATHAM UK.
ReplyDeleteEmbu kwanza mwacheni binti sarita na mashoga zake, kisa gani kuwapiga dongo la macho, eti miguu kama magogo! nyie kizazi kipya hamna nyimbo nyie, mnataka binti awe na miguu kama sindano vile, au kama nyigu (do u know what a nyigu is?), binti mzuri, usafiri mzuri, hana ngoko, na anaonekana pia zina chaji, usiwasikilize washambenga binti we sepa kivyako tu.
ReplyDeleteBibi Sarita Swaleh,
ReplyDeleteAchana na huyo jamaa anonymous wa Sun Dec 23, 06:38:00 PM 2012 (indefinite leave to remain in the UK),,,atakupa shida na karaha za maisha bureee huko Ughaibuni,,,yeye mwenyewe amekalia kuti kavu (HANA UHAKIKA NA MAISHA YAKE , HATI HATI===indefinite leave to remain in the UK===) sikatai anaweza kuwa na maisha yake lakini wengi wa huko UK ni WABEBA MABOX ATAKUWA NA MANUNDU MGONGONI, KIFUA KAMA TONGWA NA VIGIMBI KAMA KIJEBA!
Mimi nipo hapa hapa Tanzania nina:
1-Genge langu la bamia na dagaa linalozungusha faida vizuri hapa Dar.
2-Nina viwanja vyangu Goba na Kimbiji vina Hati miliki.
3-Nina tenda zangu mbili tatu ktk makampuni ba mashirika hapa Tanzania kugawa huduma na bidhaa.
4-Nina mali na amana kadhaa zisizo ondosheka.
5-Nina Akaunti zangu za Benki kadhaa zina akiba ya kutosha kutumia wewe na mimi.
KARIBU BIBIE NIKUENZI KIMAISHA, NIKUPE RAHA, NIKULEE KTK MAADILI MEMA ILI UFANIKIWE DUNIANI NA AKHERA, KARIBU KWENYE MIKONO YANGU NIKUPEKEE KWA UPENDO, IKIWEZEKANA BIRTH DAY YAKO IJAYO 2013 INSHALLAH NITAKUPELEKA DUBAI AU HUKO HUKO UINGEREZA ALIPO HUYO JAMAA (Mdau Anony wa Sun Dec 23, 06:38:00 PM 2012 )ATATUONA TUTAFIKIA HOTELINI TUTAWAALIKA WAO YEYE NA WATANZANIA WENGINE NA WAKAZI WA HUKO KUJA KWENYE PATI YETU TUKIMALIZA TUTAWAAGA TUTARUDI NYUMBANI TANZANIA!
Wabongo bwana!
ReplyDeleteyan lazima kwenye kizuri mtu ataftie kasoro kama anatafuta pesa. Penye sifa toa bwana kama huna jipya pita kimyakimya sio lazima ucomment,sio chakula hiki.
WEWE ANON WA CHATHAM, DEC 23 08:53:00 PM
ReplyDeleteTHIS IS NOT AN EXHIBITION OF BREADSTICKS, THESE ARE AFRICAN BEAUTIES, HAVING A GOOD TIME PRIVATELY, IF YOU HAVE NOTHING TO COMMENT JUST SURF BY AND PROCEED TO CHECK OUT PINOCCHIOS.
HONGERAA SANAAA,ILA WANAOKUDANGANYA KUWA UNA USAFIRI MZURI,WANAKUFUNGIA MACHO.WEWE MZURI SANA,ILA PUNGUZA MWILI KIDOGO UTAZIDI KUWA MREMBO.MASEBO.
ReplyDeleteCongratulations,you anonymous on
ReplyDeleteMon Dec 24, 10:40:00 PM 2012
don't be silly,you have no point, stop pretending! you peanut head GO AWAY!