Mwanamuziki Nyota wa
kimataifa katika anga ya muziki wa dansi kutoka nchini DR-.Kongo Koffi
Olomide akiwa sambamba na skwadi lake zima la Quartie Latin wakitumbuiza jukwaani mbele mashabiki wao (hawapo pichani) usiku huu kwenye uwanja wa CCM-Kirumba jijini Mwanza,Onesho hilo
liitwalo Tusker Carniva lilikuwa limedhaminiwa na kampuni ya bia ya
Serengeti kupitia kinywaji chake cha Tusker Lager
Pichani shoto ni msanii kutoka THT,Rachel akionesha umahiri wake wa kucheza lingala huku Koffi Olomide akidekshia kwa mbaali hivi,palikuwa hapatoshi watu wangu.
Mwimbaji nyota wa Koffi Olomide,Cindy nae akionesha umahiri wake wa kujimwaya mwaya jukwaani,huku mashabiki (hawapo pichani) wakipiga miluzi na mayowe.
Wakazi wa Mwanza waliofika kwenye uwanja wa ccm-kirumba walijionea na kushuhudia vilivyo kuwa Koffi Olomide na kundi lake zima la Quartie Latin bado ni moto wa kuotea mbali.
Burudani ikiendelea jukwaani.
Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya SBL,Ephraim Mafuru, Anitha Msangi Maurice Njowoka na Patrick Kisaka kutoka kampuni ya bia ya Serengeti wakiwa katika picha ya pamoa usiku huu ndani ya uwanja wa CCM-Kirumba.Onesho hilo liitwalo Tusker Carniva lilikuwa limedhaminiwa na kampuni ya bia ya Serengeti kupitia kinywaji chake cha Tusker Lager
Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya SBL,Ephraim Mafuru, Anitha Msangi Maurice Njowoka na Patrick Kisaka kutoka kampuni ya bia ya Serengeti wakiwa katika picha ya pamoa usiku huu ndani ya uwanja wa CCM-Kirumba.Onesho hilo liitwalo Tusker Carniva lilikuwa limedhaminiwa na kampuni ya bia ya Serengeti kupitia kinywaji chake cha Tusker Lager
Sehemu ya wakazi wa Mwanza wakifuatilia kwa makini burudani.Picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...