Taarifa kwa watanzania wanaoishi US hususan maeneo ya karibu na Las Vegas, kuanzia sasa mpaka tarehe 19 December kuna activities mbalimbali za Miss Universe - baadhi ziko free to the public, baadhi za kulipia! Naomba wenye nafasi na uwezo waende kumshangilia mrembo wetu kutoka Tanzania Winfrida Dominique - kama mnavyojua support ni muhimu. Kwa wale wenye uwezo December 19 - fainali ya Miss Universe itafanyika Planet Hollywood Resort and Casino.
Event muhimu:
PRESENTATION SHOW: (Preliminary Competition)
Ticket event
Thursday, Dec. 13

National Costume Show will be at Planet Hollywood Resort & Casino.
Friday, December 14
Celebrity Ballroom 4
6pm - no ticket necessary

The 2012 MISS UNIVERSE Pageant will be broadcast live from Planet Hollywood Resort and Casino
Ticket event
Wednesday, December 19
5pm Las Vegas time.

Naomba tujitahidi kutoa support ya nguvu kwa mrembo wetu! Thanks!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. mashindano ya miss universe? na warembo wote waliopo bongo amechaguliwa huyu?
    hii inaonyesha dhahiri kama ule msemo kizuri chajiuza, walio wazuri wa kweli hawaoni haja ya kuingia katika mashindano kama haya. Pia inaonyesha dhahiri kuwa majaji hawajui wanachokifanya katika kuchagua mrembo.
    Sijali kama michuzi hutoweka hii, ukweli uko pale pale tu!!!

    ReplyDelete
  2. Ahaaaa ahaaaa naona dada ameenda kuvaa nguo, maana jamaaa waligoma kumpa kura mpska akavae nguo katika picha ya awali. Amekaa vizuri. Poa

    ReplyDelete
  3. We mdau wa kwanza waingereza wanasema "Beauty is in the eye of the beholder".Binti hachukizi lakini kuna wengine watamwona ni bomba. Enzi zetu asingeweza kushinda kwani ilibidi awe amejaza na ana WO*3, vijana wa siku hizi wanapenda vimbaumbau, wanaiga ulaya na marekani, Mimi mpingo wa bongoland, na bado nausudu binti aliyejaza licha ya kwamba nipo ughaibuni miaka ishirini na ushee.

    ReplyDelete
  4. Mdau wa tatu anony Fri Dec 07, 06:15:00 PM 2012
    a
    ...Hahahaha, licha ya miaka 20 ya kukaa Majuu ukiwa kama 'Maganga' au 'Mbonde' kupenda WO*3 jadi yako haikupotea!

    ReplyDelete
  5. Kweli kila mmoja ana mahitaji yake, wengine wanapenda vimbau mbau , wengine wanataka wanaoburuza mikia!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...