Huyu jamaa Mory Kante sijui yuko wapi siku hizi maana miaka ya 80 aliwarusha wadau kwenye madisko na wimbo wake wa ‘Yeke Yeke’ si haba…. Mwenye data msaada tutani tafadhali

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Hapo nakumbuka kwenye miaka ya themanini wimbo huu ulikuwa umeshika chati mpaka Europe.

    Huyu na akina Selif Keita, Osibisa, Mano Dibango kwa kweli waliupandisha chati sana muziki wa Afrika.

    ReplyDelete
  2. poa ilej mbaya yani umenifurahisha na kunikumbusha mbali sana muhidini issa aisee jamaa sijui yupo wapi

    New York

    ReplyDelete
  3. Yeke yeke tomorrow yeke yeke X 3

    ...(Halafu anaimba kwa lugha ya kwao Afrika ya Magharibi)...

    Ohhhh jamani zamani kulikuwa kutamu,

    Unatukumbusha mbali sana!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...