
Wakati huohuo, Waziri wa
Ujenzi Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli (Mb) ameteua wajumbe nane (8) wa Bodi
ya Usajili wa Makandarasi kama
ifuatavyo:-
- Qs. Joseph Tango kutoka Tanzania Institute Quantity Surveyors
(TIQS). Kwa sasa Qs. Tango ni Makamu
Mwenyekiti wa TIQS.
- Eng.Samuel D. Shilla kutoka Association
of Consulting Engineers Tanzania
(ACET). Kwa sasa Eng. Shilla ni Mkurugenzi Mtendaji wa Service Consult Ltd.
- Eng. Lawrence Mwakyambiki kutoka Chama cha
Makandarasi Tanzania. Kwa sasa ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha
Wakandarasi na Mkurugenzi Mtendaji Mac
Contractors Ltd.
- Eng. Stephen P. Makigo kutoka Chama cha
Makandarasi Tanzania. Kwa sasa ni Mkurugenzi
Mkuu wa Manyanga Company Limited.
- Mr. Andrew Willson Masawe, akiwakilisha Sekta ya Biashara.
- Eng. Joseph M. Nyamhanga, Mkurugenzi wa Barabara,
Wizara ya Ujenzi.
- Mr. Abraham Senguji, Mkurugenzi wa Usuluhishi
na Upatanishi, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
- Arch. Dudley B. Mawala, Mkurugenzi Mtendaji (Md Consultancy Limited). Anawakilisha Architectural Association of Tanzania (AAT).
Uteuzi
huu umefanyika tarehe 13/12/2012. Jukumu la msingi la Bodi ya Makandarasi ni
kusajili Makandarasi; kusimamia mwenendo wa Makandarasi; kujenga uwezo wa
Makandarasi wa Kitanzania na kulinda maslahi ya watumiaji wa Makandarasi.
Taarifa hii imetolewa na:
Balozi Herbert E. Mrango
KATIBU MKUU
Hongera Eng. Consolatha Ngimbwa. Nakuomba kabla ya kumaliza muda wako huu, ujitahidi kwa udi na uvumba ku wezesha utaratibu wa kuwa na Quota >30% ya wanawake Engineers wenye uwezo kuteuliwa kuwa wajumbe katika Bodi ijayo.Wale uliyo wa mentor waje juu!
ReplyDelete