Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara (kushoto) akiongea na baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Maudhui ya Sekta ya Utangazaji wakati alipoizindua Kamati hiyo jana (leo) jijini Dar es Salaam kushoto kwa Waziri ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Bibi Rehema Makuburi.(Picha zote na Benjamin Sawe).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...