Habari za Mchana. Pole na Majukumu.


Napenda kuwahabarisha vijana wenzangu kupitia blog yako tukufu kuwa University of Dar es salaam, Wametoa fursa za nafasi za kazi zaidi ya 50 katika fani mbalimbali. Kwa kijana yeyote atafute Gazeti la Daily news ya leo ukurasa wa 20,21,22.Au abonyeze hapa


Nawatakia mafanikio mema kwa wale wote watakaoomba.

Wenu Mdau

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Thanks Michuzi,

    Lakini usiwe mbaguzi hata sisi wazee tuanzitaka kazi hizi. Ngoja nikatafute gazeti sasa hivi

    ReplyDelete
  2. thank you mdau..it might be usefull for my future career. God bless!.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...