Marehemu Mzee Wilfred Mahendeka Mtaki

Ndugu Sospeter E Mtaki wa Kimara King’ong’o jijini Dar es Salaam, anasikitika kuwatangazia kifo cha baba yake Mzazi, Mzee Wilfred Mahendeka Mtaki kilichotokea Jumatatu, Februari 11, 2013 jijini Dar es Salaam.

Mipango ya Mazishi inafanyika Nyumbani kwa mtoto wa Marehemu Kimara King’ong’o. Misa ya kumwombea Marehemu itafanyika Alhamisi Februari 14 kuanzia saa 5 asubuhi Katika Kanisa la Mt. Marie Clare Michungwani.

Heshima za mwisho zitaanza saa 7 mchana na baade safari ya kuelekea kijijini kwake Kisorya-wilayani Bunda itaanza.

Bwana Alioa na Bwana ametwaa- Jina lake Lihimidiwe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Nilisoma na mtu mmoja sengerema sekondari ,anaitwa Magayane Mahendeka je mzee huyu ndiye mzazi wake?

    ReplyDelete
  2. R.I.P, Kiungwana kwanza unaanza na pole kisha ndio uanze kumuulizia skuli mate wako.

    ReplyDelete
  3. Poleni sana wanafamilia. Mwenyezi Mungu awape nguvu na moyo wa kupokea na kuuchukua msiba huu kwa imani kuu. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina lake na lihimidiwe, Amen.

    Dr. Primus

    ReplyDelete
  4. RIP ....

    Primus naona ilibidi uweke Dr. kwa mbele kabisa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...