Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Nchini (tpsf), Godfrey Simbeye ikisisitiza jambo wakati wa mkutano maalumu wa kuwajengea uwezo wanachama wa taasisi hiyo katika kanda ya kaskazini ,juu ya umuhimu wa kongano (clusters) na jinsi ya kuimarisha mabaraza yao ya biashara ya wilaya na mkoa ili kuwa na sauti moja yenye nguvu kwa taasisi hiyo, (kushoto) ni Mkurugenzi wa Bodi ya taasisi hiyo DKT. Gidion Kaunda. Mkutano huo ulifanyika jijini Arusha jana na kujumuisha mikoa ya Manyara, Kilimanjaro na Arusha.
Home
Unlabelled
TPSF yapania kujenga uwezo kwa wanachama wake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...