Mwanamuziki wa Bendi ya FM Academia,Nyoshi el Sadaat (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam leo juu onyesho lao maalum litakalofanyika kesho Alhamisi kwenye Ukumbi wa East 24 Bar,uliopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.Kushoto na kulia ni Maafisa wa Kampuni ya Mabibo,Julius Mapunda na Vailet Otina ambao ndio wadhamini wa Onyesho hilo chini ya Kinywaji chao cha Windhoek Lager.
Nyoshi el Sadaat akighani moja ya nyimbo zake mpya atakazozitambulisha rasmi kesho.
Afisa wa Kampuni ya Mabibo,Julius Mapunda akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam leo juu onyesho la FM Academia litakalofanyika kesho Alhamisi kwenye Ukumbi wa East 24 Bar,uliopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...