Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua kituo cha polisi Mabwepande huku Kamanda wa Polisi Kanda maalum Suleiman Kova akiangalia.Kituo hicho cha kisasa kimejengwa kwa msaada wa kampuni ya TSN.
Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar Es Salaam Suleiman Kova akimuongoza Rais Dkt. Jakaya Kikwete kukagua kituo kipya cha Polisi Mabwe Pande wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam leo
Muumba awalipe
ReplyDeleteIzo nyumba zipe mwaka tu utaona,Manake police sijui wana asili gani ya uchafu
ReplyDeleteSaamhani sisi waafrika uchafu ndio asili yetu sijui, we angalia barabara ya morogoro road utakuta katika zile sehemu ambazo zina mashimo ndio zinawekwa taka. Polisi ina makabila kila aina hivyo inarepresent watanzania wote.
ReplyDelete