Ankal,
Kumekuwa na malumbano ya lebo.
Binafsi nashangaa kwani sio tu zipo suti natunza lebo, ila najua kuna watu wanaweka suit juu na jeans, wengine suti bila tai, na lebo sio ushamba kwani tunajua viatu,saa, miwani, kofia, magari nk vyote vina lebo..na yote ni kusema napendelea designer fulani. Sio bei, ila kupendela kama perfume nk.
Niliwahi kuelea kuwa ukiagiza gari mpya na utake wasiweke lebo ya model, unalipa hela ya ziada. Binafsi niliona nishai (kubana matumizi) kulipa hela hiyo..nikaacha lebo.
Pasaka njema
Mdau wa Lebozzz

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Mdau haelewi hata kidogo, pitia uliyoyaandika kabla hujapost. Hueleweki

    ReplyDelete
  2. Kuacha lebo kwenye suti ni ushamba, hasa kama unajielewa na hutegemei ubongo wa mtu mwingine kukuambia lipi jema, lipi baya lipi ustaarabu. Ni suala la SELF AWARENESS.

    ReplyDelete
  3. Kweli kabisa hamake sense.

    ReplyDelete
  4. kweli haeleweki anasema nini

    ReplyDelete
  5. hivi hicho kiswahili au lugha gan maana sijaelewa kitu kabisa

    ReplyDelete
  6. Mawili- - Labda suit ya kukodisha,au nadhani ni utamaduni ya ndugu zetu wa kutaka kuwa tofauti tu, angalia hata wanaachaga lebo kwenye kofia mpya etc eti mjue ana vitu vikali

    ReplyDelete
  7. Suit na jeans pamoja kuna baridi bongo? Suit maana yake koti na suruali ama koti kizibao na suruali sasa uka piga na jeans hiyo ina kuwa madudu ya kutisha labda winter la ajabu kweli hata hivyo sija ona hiyo mix take a picture and show us

    ReplyDelete
  8. Hivi hamna vya kuzungumza?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...