Ankal keshapiga taswira kibao ila ukimuuliza hivi karibuni kapata taswira ipi anayodhani ni tamu kwake atakurudisha Desemba 9 mwaka jana wakati wa sherehe za Uhuru katika uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam ambapo kulikuwa na burudani toka kundi la taifa la utamaduni toka Rwanda. Hizi ndizo taswira tatu tamu za Ankal za hivi karibuni. Unaruhusiwa ku-comment na kuzichambua
Home
Unlabelled
TASWIRA TAMU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...