Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Ulinzi na Usalama Mh. Anna Abdalah akipata maelezo kuhusu ujenzi wa Jengo la Makao Makuu ya Idara ya Upelelezi wakati kamati hiyo ilipotembelea na kukagua ujenzi wa jengo hilo unaoendelea jijini Dar Es Salaam.Kamati hiyo pia ilitembelea eneo la mradi wa Polisi Ostarbay.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Ulinzi na Usalama Mh. Anna Abdalah akiwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Said Mwema pamoja na wajumbe wa kamati hiyo  wakikagua ujenzi wa Jengo la Makao Makuu ya Idara ya Upelelezi jijini Dar Es Salaam. Kamati hiyo pia ilitembelea eneo la mradi wa Polisi Ostarbay (Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mh.Pereila Silima (kushoto), Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge, Ulinzi na Usalama Mh.Anna Abdalah (katikati) na Mkuu wa kitengo cha Miradi ya Maendeleo na Miradi ya Polisi Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Sostenes Kondela pamoja na wajumbe wengine wakikagua ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Idara ya upelelezi jijini Dar Es Salaam Jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...