Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye miwani) akiwa na Wanafunzi kutoka Tanzania wanaosoma masuala ya Maji katika Taasisi ya Elimu ya Maji ya Kimataifa (UNESCO), Delft Uholanzi. Watanzania kumi na Sita kutoka Tanzania wamehitimu katika fani za usambazaji wa maji, maji na mazingira, usimamizi wa raslimali za maji na utatuzi wa migogoro ya maji.
Home
Unlabelled
Balozi Kamala Akutana na Wanafunzi kutoka Tanzania wanaosoma katika Taasisi ya Elimu ya Maji ya UNESCO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...