Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye miwani) akiwa na Wanafunzi kutoka Tanzania wanaosoma masuala ya Maji katika Taasisi ya Elimu ya Maji ya Kimataifa (UNESCO), Delft Uholanzi. Watanzania kumi na Sita kutoka Tanzania wamehitimu katika fani za usambazaji wa maji, maji na mazingira, usimamizi wa raslimali za maji na utatuzi wa migogoro ya maji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...