Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) (kulia), akisalimiana na Rais wa Muungano wa Visiwa vya Comoro, Mhe. Ikililou Dhoinine mara baada ya kuwasili kwenye Ikulu ya nchi hiyo. Mhe. Maalim alitembelea Comoro hivi karibuni kwa madhumuni ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano kati ya nchi hizi mbili.
Mhe. Maalim akizungumza na Mhe. Rais Dhoinine.
Mhe. Maalim (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Rais Dhoinine (katikati) mara baada ya mazungumzo yao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...