HUYU NDIO DIAMOND THE PLATNUMZZ akiwarusha wakazi wa Mji wa Morogoro na Vitongoji vyake hapo jana kwenye mkutano wa CCM....!
Home
Unlabelled
huyu ndiye diamond a.k.a the platnumz..!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
NAONA WATOTO NDIO NDIO WENGI HAPA NAO WAMEPEWA KADI AU?
ReplyDeleteNimependa hotuba ya mh Makamba.mbona michuzi hutuwekei hizo episode za wabunge?ni kweli wapinzani nawapenda ila wanatumia kila kitu kupinga harafu watambue kabisa mchango wa ccm kwa taifa.hoja ndo zitawale si hasira na kutoka nje na kuzira.ila pia ccm mama makinda aongoze vizuri na wanaccm waache uporaji hizo ndo issue zinazowaangusha.
ReplyDeleteDa Diamond kafanya vizuri kweli kwenye tamasha hili. Vipi leo kuna habari zozote kutoka kwenye Mahakama ya Rufaa (Court of Appeal)? Tunasubiri sana kujua kilichojiri kupitia Globu Ya Jamii tujue nani kaibuka kidedea kwenye ile Rufaa...
ReplyDeleteMbona sehemu kubwa ya umati huu ni watoto wadogo ambao hawaelewi mustakabali wa taifa na by 2012 watakuwa hawajafilia ule umri (18 years!)
ReplyDeleteDiamond awakune au asiwakune morogoro msimamo wetu kinamama upo pale pale tunayagomea maonyesho yake na bidhaa zake,ata iweje tunamgomea
ReplyDelete