Padri Jean Marie akimbatiza mtoto Rose leo Jumapili April 7, 2013 katika kanisa la Mtakatifu Camillus lililopo Silver Spring, Maryland nchini Marekani na baadae viburudisho viliendelea katika kanisa la Mt. Luke lililopo barabara ya Colesville, Downtown, Silver Spring. Aliyembeba mtoto ni mama wa ubatizo Tabitha Mwita wakiwa pamoja na wazazi wa Rose.
Picha juu na chini ni Padri Jean Marie akiongoza misa ya ubatizo ya mtoto Rose iliyofanyika leo Jumapili katika kanisa la Mt. Camillus.
 Juu na chini ni Wazazi, mama ubatizo na mtoto Rose katika picha ya pamoja

 Picha juu na chini misa ya ubatizo ya mtoto Rose ikiendelea.
Wazazi, mama ubatizo na mtoto Rose katika picha ya pamoja na Padri Jean Marie baada ya misa ya ubatizo wa Rose kumalizika.

Ndugu, jamaa na marafiki waliofika kwenye misa ya ubatizo ya mtoto Rose katika picha ya pamoja
Wazazi wa Rose na kadogoo wao wakipata picha ya kumbukumbu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Hongera Rose Shomari kwa kumkataa shetani na kazi zake zote.

    ReplyDelete
  2. Very nice! Mbarikiwe sana!

    ReplyDelete
  3. Mtoto akikua arudi bongo sio vzr afundishwe kubeba box. si mnajua hazilipi kazi za huko?

    ReplyDelete
  4. hivi huyu dada alikuwa na mimba alipofunga harusi maana ni juzi tu hapa ameshapata mtoto na amekuwa kisi hichi au aliku naye before wedding nauliza tu wandugu msitoboe macho

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...