Kufuatia ajali ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa 16 lililokuwa linajengwa katikati ya jiji la Dar es Salaam juzi siku ya Ijumaa Kuu tarehe 29 Machi, 2013 mpaka sasa maiti za watu 30 zimepatikana.

Kwa mujibu wa taarifa rasmi,  watu 17 waliweza kuokolewa, wanne kati yao bado wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.  Wengine walitibiwa na kuruhusiwa.

Kazi ya kufukua eneo la ajali inaendelea na sasa inakaribia kufikia ukingoni. 
 .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Inasikitisha sana.Na haya ni "mapenzi ya Mungu" au?Poleni sana kwa familia zilizopotelewa na wapendwa wao.Na wanaotibiwa nawaombea wapone haraka.Juzi hapa blog ya jamii ilitoa picha za maji ya mvua yasiyofahamu mahali pa kwenda maeneo ya Mikocheni TMJ hospital.Haya nayo ni "Hazard" yanaweza kusababisha majengo kuporomoka yakipenya kwenye misingi ya Majengo.

    David V

    ReplyDelete
  2. ufisadi wa wahandisi: kuiba nondo, sementi, dawa, mbao, mirunda, mabati, rangi, n.k. tutafika?

    Halafu mtwambie mhandisi kahitimu DIT au UD?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...