Ajali mbaya imetokea asubuhi hii ikihusisha pikipiki na daladala hii ambazo zilikutana uso uso lakini Kwa BAHATI nzuri dereva wa pikipiki Hiyo (mwenye helmet chini) alipona baada ya kuruka kwenye pikipiki na pikipiki kuharibika vibaya baada ya kukanyagwa na gari. Picha kwa hisani ya mwanaharakati mzalendo blog. Ajali za aina hii zimekuwa nyingi mno jijini Dar es salaam na kwengineko kufuatia wimbi kubwa la bodaboda kila mahali na uendesshaji usiofuata sheria
 Balaa asubuhi

 Askari wa trafiki wakiwa kazini baada ya ajali hiyo, huku dereva wa pikipiki akisubiri pembeni
 Dereva wa pikipiki aliyenusurika
Polisi jamii na wasamaria wema wakijaribu kuinasua pikipiki uvungumi mwa daladala

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 15, 2013

    Dereva wa daladala alijitahidi kuhakikisha anaisaga saga hiyo pkpk kwani angeweza kusimama kabla haijafika uvunguni kote huko ! Chuki na roho mbaya vimetawala.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 15, 2013

    Anon wa kwanza ushaambiwa ajali sasa chuki na roho mbaya ya dereva wa dala2 vinatoka wapi; sasa wewe ndo mwenye roho mbaya, roho ya rada ambayo unapakazia watu mazito bila ya kuwa na uhakika wa picha halisi ya ajali.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 15, 2013

    Siku hizi watu wamekuwa wengi lakini binadamu wachache sana

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 15, 2013

    Hawajatulia hawa madereva wa Boda, mwone huyu jinsi kichwa chake kama akili yake

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 15, 2013

    HAPO UTAKUTA DEREVA WA DALADALA NA BODABODA WOTE HAWANA LESENI YAAANI KAZI KWELI KWELI

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...