Balozi mpya mteule wa Tanzania nchini Comoro, Mhe. Chabaka F. Kilumanga(nne kushoto), akiwa kwenye picha ya pamoja na Maafisa na Wafanyakazi wa ubalozi wa Tanzania - London, baada ya kukaribishwa kwa shangwe za kumpongeza rasmi kwa kuteuliwa kwake kuwa Balozi nchini Comoro, baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mhe. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, kumemteua Balozi Chabaka Kilumanga kuwa Balozi wa Tanzania, nchini Comoro. Kabla ya uteuzi huo, Mhe. Kilumanga alikuwa Naibu Balozi katika Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Congratulations Balozi Chabaka!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 15, 2013

    Yule Mchina kule nyuma ni Mtanzania nae ?? Sisemi haiwezekani but surpised ! sijui ni kizazi cha ngapi mpaka kawa afisa/mfanyakazi wa serikali ya Tanzania...

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 15, 2013

    Hongera sana, wasilisheni nchi kwa uzuri ili wabaya waone haya.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 16, 2013

    mweupe anaaminika wakati wowote mbele ya mweusi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...