Katika kuadhimisha siku
kuu ya wafanyakazi Duniani,Wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia(COSTECH) leo tarehe 1 mei 2013 wameungana na
wafanyakazi mbalimbali Jijini Dar es salaam katika viwanja vya Mnazi Mmoja
kusherehekea siku kuu hiyo
Baadhi ya Wafanyakazi
wa COSTECH wakicheza muziki katika jukwaa maalumu Mnazi mmoja jijini Dar es
salaam hii leo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...