Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkrugenzi Mkuu wa
Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk. Ramadhan Dau wakati alipowasili kwenye maonesho ya Wiki ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii mjini Dodoma.
Rais Jakaya Kikwete akipata maelezo kutoka kwa Mkrugenzi Mkuu wa
Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk Ramadhan Dau alipotembelea banda la NSSF wakati wa kufunga
maonesho ya Wiki ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii iliyomalizika mwishoni mwa wiki
mjini Dodoma. Wa pili kushoto ni Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka. (Na
Mpiga Picha Wetu)
Rais Jakaya Kikwete akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifandji ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori wakati alipotembelea banda la NSSF katika maonesho ya Wiki ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii iliyofanyika mjini Dodoma
Rais Jakaya kikwete akikaribishwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shiorika la taifa la hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk. Ramadhani Dau alipowasili katika banda la NSSF. Kulia ni Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifandji ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori.
Mh. Rais Jakaya Kikwete akisoma jarida linaloonyesha kazi za NSSF.
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhan Dau akifafanua jambo wakati wa mahojiano na waandishi wa habari.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...