Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudentia Kabaka akifungua rasmi semina ya waandishi wa habari iliyoandaliwa na SSRA na Mifuko ya Hifadhi ya jamii
Mkurugenzi Mkuu wa SSRA BI Irene Isaka akijibu baadhi ya maswali ya waandishi wa habari. Pembeni yake ni waziri wa kazi na ajira Bi Gaudentia Kabaka pamoja na naibu waziri Dr Milton Makongoro Mahanga
Mmoja wa waandishi wa habari akichangia mada katika semina ya waandishi wa habari
Mkurugenzi Mkuu wa SSRA Bi Irene Isaka akiwasilisha mada kuhusu sekta ya hifadhi ya jamii kwa waheshimiwa wabunge
Picha 6: Mkurugenzi Mkuu wa GEPF Bw Daud Msangi akiwasilisha mada juu ya mchango wa GEPF katika kuendeleza sekta ya hifadhi ya jamii
Mhe Juma Nkamia Kondoa akishiriki katika mada.
Naibu Spika Mh Job Ndugai akifungua rasmi semina maalum ya waheshimiwa wabunge iliyoandaliwa na SSRA na Mifuko ya Hifadhi ya jamii mjini Dodoma.
Mh. Anna Abdallah akiuliza swali juu ya shughuli za Mifuko ya Hifadhi ya jamii.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...