MWENYEKITI wa Jumuia ya Wastaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaoishi Zanzibar, Mohammed Ali Maalim akimkaribisha mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa jumuia hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Eacrotanal mjini Zanzibar.
Kwa habari na picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 18, 2013

    Mstaafu aliyekuwa hakufanyakazi chini ya miaka 20 asiruhusiwe kupewa kazi kwa mkataba baada ya kustaafu. Mtu yeyote aliyekuwa hajawahi kufanya kazi serikalini zaidi ya miaka 10 asiruhusiwe kuwa mshauri ndani ya serikali au kupewa cheo cha kuchaguliwa na Rais. Hii itasaidia kuwapa umuhimu wafanyakazi wanaohangaika kufanyakazi serikali kwa mishahara midogo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...