BUSHOKE FT K-LYNN - NALIA KWA FURAHA
Home
Unlabelled
ngoma azipendazo ankal
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kitu kimetulia.Sasa Bro Ankal,mimi nina swali dogo.Wewe umekuwa ukijitahidi kutuwekea muziki wa Tanzania wa kila aina(Asante).Sasa muziki wetu wa asili Tanzania(au Afr.Mashariki) ni upi?Kwa sababu hata hawa vijana hapa wanatumia mapigo ya ZOUK(Zuku) ambao asili yake ni visiwa vya Caribbean(kumbuka Kassav miaka ya '1980s') na ni muziki maarufu sana Afrika ya Magharibi(Sipingi matumizi ya beat hii).Hoja yangu ni kwamba mapigo ya muziki wa afrika ya kati,kusini,magharibi,kaskazini yanaeleweka,unaweza kutambua hata bila kuelewa lugha inayotumika.Sasa hapa Afrika ya Mashariki??Taarabu?Karibu Ankal
ReplyDeleteMdau David V