Ngoma ya 'Bane' ya Oliver Ngoma (RiP) si ya kusahau

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 18, 2013

    Asante Uncle ngoma hii inanikumbusha Namfua sec school mwaka1993 wakati wa party zetu za shule.kwa wale wanafunzi wa namfua wa mwaka huu watakumbuka.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 18, 2013

    Hakuna nini wala nini si useme tu umekumbuka yale Mabao?

    Wewe Michuzi ni mtu mzima sasa na tunakutegemea.

    Ankal huo ni Wimbo RASMI WA WEWE YANGA S.C kwa mara ya pili tena kuchapwa Mabao 5-0 na Simba S.C!

    Hivyo unajifanya sijui umekumbuka wimbo Bane wa Olive Ngoma wakati UMEKUMBUKA KICHAPO CHA MABAO MATANO BILA!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 18, 2013

    Mdau wa Pili chezea Muchizi weye?

    Tusisumbuane tafadhali tunaanza leo tukiwa 0-0 (bila bila).

    Wewe ulimfunga Michuzi (Yanga.S.C) Mabao 5-0 (MABAO YA MIGUU), sasa kukuonyesha ya kuwa watu ni Mafia Mabao yooote 5-0 yalichomolewa kwa njia ya LIBOLO!



    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 18, 2013

    SPECIAL REQUEST MUSIC:

    Ankali Jumapili turushi za Mkali wa siku kitambo THE BIG DADDY KANE huyu Rapper alitikisa sana miaka ya 1989 huku tukiwa tunaziruka pale Space 1900 na Vision 2000

    Vibao vyake zaidi ya hiki ktk link:

    http://www.youtube.com/watch?v=U1xWcskwHao&feature=endscreen&NR=1

    Vingine ni

    -taste of chocolate
    -Lean on me
    -Dolomite
    -Prince of darkness
    -get the job done
    -raw
    -heal yourself
    -the love in you
    -cause I can do it
    -nuff respect

    na zingine kibao

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...