Miriam Makeba aliirusha bendera ya Tanzaniajuu duniani kwa wimbo huu wa 'Malaika'

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 19, 2013

    Asante sana Ankal.Huu wimbo nilishausikia nchi moja ya nje ukipigwa Hotelini(muziki mwororo),wahudumu wa hotelini wakawa wanajaribu kuuimba wanakosea(Wanaupenda lakini hawaelewi manake,hiyo nchi haitumii Lugha ya Kiswahili).Alipiga na kibao kingine na kuchanganya lugha ya Kiswahili-HAPO ZAMANI...SHAURI YA P*MBE...(Sina uhakika kama ni yeye)

    David V

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 19, 2013

    This is 2013! Hii kitu bwana sio news: ni zilipendwa. Nilitegemea baada ya Hayati Makeba kuwafungulia mlango baada ya kuwa-amsha from a deep stupor, the then Wa-TANGAYIKA na leo Wa- TANZANIA; mngeliweka mbele KISWAILI GLOBALLY. TOKA NYERERE/JUMBE/MWINYI/MKAPA/KIKWETE/ (he naona yote hii ni CCM) kila wanapopewa fursa, na majukwaa kuzungumza OVERSEAS, SIOKAMA PUTIN AMA MJAPANI AMA MCHINA HATA MPALESTINA WOTE WATUMIA LUGHA ZAO. NA HAWA BASI MARA NYINGI NI WASOMI WA HALI YAVJUU NA KIMOMBO WANAKIMUDU! ILA VIJANAWAPEWA KAZI YA UKALIMANI (Thus reating a whole Ukalimani/Translation Industry, all this reducng UNEPLOYMET. WASWHILI NA WA BANTU/NUBIANS NA WANAOJIITA FRENCH ALKEBUKALANI SUBJECTS -- WAVAMIA TUMIA UMOMBO AMA KIFARANSA: TO ALL HIZI LUGHA BWANA NI SECOND LANGUAGES. JAMANI HADI SASA 2013 mlango alofungua hayati MAKEBA HATU-UONI.Mpeni hii blog Mhesmiwa KIKWETE atupe wazo lake.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 20, 2013

    Nashindwa na Mali sina eeeee mie Yanga ningeiwowa Msimbazi!

    Kidege eeeee nakuwaza Msimbazi,

    Nashindwa na mali sina eeee mie Yanga ningekuwowa Msimbazi.

    Bao 2-0 !

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...